POPULAR ROUTES -
Dar es salaam to Lindi Dar es salaam to Mtwara Dar es salaam to Tandahimba Dar es salaam to Ruangwa

About Us

Butilazungu Express

"Kampuni ya usafirishaji abiria na vifurushi kusini mwa Tanzania, inayohudumia mikoa ya Lindi, Mtwara. Kampuni ya Buti La Zungu Express inauzoefu wa miaka mingi kwenye tasnia ya usafirishaji ambapo inaendelea kukupatia huduma bora na za kisasa zaidi huku mabasi yetu yakiwa ya hadhi ya kipekee kabisa."

-Karibu ufurahie kilicho bora tokea kwetu. Mambo ni ByutiByuti-